Hadithi

Julia Asekenya of Tajar Kolir in Bukedea district collecting water from the nearby stream which is their main source
Hadithi Zote
Uganda

Watoto Walionusurika Maporomoko ya Udongo Waongoza Jitihada za Kupanda Miti katika Kambi Mpya ya Bunambutye Waishiyo iliyo na Upungufu wa Maji

Na Javier Silas Omagor Mamia ya watu wanapambana na upungufu mkubwa wa maji safi na salama katika vijiji vya Bunambutye ambavyo ni makazi mapya ya wahanga wa maporomoko ya maji, huku kwa upande mwingine wakipambana na janga la Corona. Kaya takribani 140 zilizoathirika katika Awamu ya II zilihamishiwa kutoka Bududa na kupelekwa makazi ya Bunambutye […]
Na:
Jenifer Cana P6 Pupil of Ariwa Primary school in Ariwa village Rhinocamp Refugee settlement cooking beans using firewood She sales food ration ot By Firewood Photo By Robert Ariaka 1
Hadithi Zote
Uganda

Wakimbizi Wageuza Kinyesi Cha Binadamu Kuwa Kuni Mbadala Ya Kupikia Kwa Madhumuni Ya Kuhifadhi Miti Na Kukabiliana Na Tabia Nchi

Na Robert Ariaka Kundi la wanawake wakimbizi wa Sudan Kusini wilayani Arua, wanatengeneza matofali kutokana na kinyesi cha binadamu ili kutumika badala ya kuni na makaa. “Matofali yatokanayo na kinyesi cha binadamu hutumika kwa muda mrefu wa masaa manane, hivyo kurahisisha shughuli ya upishi ikilinganishwa na kuni za kawaida,” asimulia Roda Selwa, kijana ambaye ni […]
Na:
Pictures INfoN
Hadithi Zote
Sudan South

Green Horizon, mradi wa usalama wa chakula washughulikia maslahi ya jamii za Jebel Ladu huku ukikuza mazao kutuliza janga la njaa nchini Sudan Kusini

Zaidi ya hektari milioni 2.5 ya ardhi nchini Sudan Kusini imetwaliwa na wawekezaji haswa wa kimataifa tangu mwaka wa 2006 Na David Mono Danga Ripoti hii imetayarishwa kwa ushirikiano wa InfoNile na Code for Africa na usaidizi kutoka kwa Pulitzer Center. Sudan Kusini, taifa changa zaidi duniani inakumbana na changamoto nyingi, ikiwemo umaskini na njaa. […]
Na:
These rice silos have since stopped being used
Hadithi Zote

Mabishano Ya Kinamasi Cha Yala: Ahadi Zilizovunjika, Ardhi Imebakia Mahame

Ripoti hii imefanikishwa kwa ushirikiano wa InfoNile na Code for Africa na usaidizi kutoka kwa Pulitzer Center Na Geoffrey Kamadi Kisa kinachohusisha kinamasi cha Yala na kampuni ya Dominion Farms Limited huenda kikafananishwa na usimulizi mwingine wowote wa kusikitisha, ambao kwa kawaida uhusisha kitendo cha unyakuzi ardhi ambao umekwenda mrama. Mara nyingi, visa kama hivi […]
Na:
toshka project
Maji Uncategorized @sw
Egypt

Jinsi ambavyo maji yanavyoingia katika guba

Na Nada Arafat Sehemu kubwa ya kijani kibichi inayoenea hadi upeo wa macho, inashughulikiwa na mashine ya kisasa, ambayo imechukuwa nafasi ya wafanyi kazi. Ardhi hii inamwagiliwa maji kwa kutumia mfumo unaohusisha mashine ya umwagiliaji maji iliyo unganishwa kwa mifereji ambayo hutumika kupitisha maji yanayosukumwa kutumia mojawapo ya vituo vya mabomba kubwa zaidi ulimwenguni. Wahandisi […]
Na:
Uncategorized @sw

Mushkeli katika sheria zachochea unyakuaji ardhi Wawekezaji wa kigeni walipata hektari millioni 2.5 ya ardhi

Na Paul Jimbo Makala haya yametayarishwa kwa hisani ya InfoNile na Code for Africa pamoja na usaidizi kutoka kwa Pulitzer Center Sudan Kusini, nchi changa zaidi duniani, imekuwa ikigonga vichwa vya habaria ulimwenguni, sio kwa sababu nzuri, ila tu kwa sababu zinginezo zikiwemo vita vya wenyewe kwa wenyewe, migogoro ya kikabila na unyakuaji ardhi. Migogoro […]
Na:
A concrete perimetre wall that stretches into the River Nile waters. 1
Hadithi Zote
Sudan South

Mushkeli katika sheria zachochea unyakuaji ardhi

Wawekezaji wa kigeni walipata hektari millioni 2.5 ya ardhi Na Paul Jimbo Makala haya yametayarishwa kwa hisani ya InfoNile na Code for Africa pamoja na usaidizi kutoka kwa Pulitzer Center Sudan Kusini, nchi changa zaidi duniani, imekuwa ikigonga vichwa vya habaria ulimwenguni, sio kwa sababu nzuri, ila tu kwa sababu zinginezo zikiwemo vita vya wenyewe […]
Na:
MELIA VOLKENSII 6

Upanzi Miti Nchini Kenya Yawasaidia Wakulima Kuepuka Ukame na Umaskini

KIBWEZI, Kenya, March 25 (Thomson Reuters Foundation) – Akiwa na wasiwasi kwamba ukame ungeharibu zao lake mnamo mwaka wa 2000, mkulima Jonathan Kituku Mung’ala alikumbuka kukutana na wateja wa kilimo alipokuwa akifanya kazi katika kampuni ya umeme ya Kenya, ambao walitengeneza hela nyingi kwa upanzi wa aina ya mti madhubuti asili.
Na: