Hadithi

Mau Forest Evictions

Naibu wa Rais Awaamuru Maskwota Kuondoka Katika Msitu wa Mau

Serikali imeamuru jamii 600 ambao waliingilia Msitu wa Maasai Mau, kuondoka. Naibu wa rais William Ruto, ambaye alizungumza wikendi iliyopita katika shule ya upili ya Sogoo, Narok Kusini, ambapo ipo sehemu ya msitu, aliwataka maskwota hao kuondoka, akinena kuwa uhifadhi wa mazingira ni muhimu kwa nchi. Hatua hii imechukuliwa ili kuhifadhi hektari 46,000 ya msitu, […]
Na:
KEesipisu well drilling

Kenya Yaangalia Ndani mwa Kisichofahamika: Hifadhi Yake ya Maji ya Chini Kwa Chini

Na Isaiah Esipisu UKUNDA, Kenya, Julai 2 (Thomson Reuters Foundation) – Bahari zimeremetazo na kuramba upwani Diani, zimeifanya pembe hii ya kusini mashariki mwa Kenya kuwa mojawapo ya vivutio vikubwa kwa watalii. Hata hivyo, ni wageni wachache wanaofahamu kwamba maji miferejini mwao inatoka visimani vilivyozamishwa ndani ya matabaka – hifadhi ya chini kwa chini ya […]
Na:
Sentry

Mashamba Elea ya Samaki Yahatarisha Ziwa Victoria

Ilianza kama suluhisho kwa udidimiaji mkubwa wa idadi ya samaki ndani ya Ziwa Victoria, hata hivyo, umaharufu wa ukuzaji samaki kizimbani sasa watisha kuleta mathara ya kimazingira. Shughuli hii huenda ikathuru mazingira ya ziwa, kwa vile hakuna kanuni ya kuisimamia.
Na:
Climate Change is threatening the progress to achieve a sustainable vision of water for all. Photo by Andrew Tushabe

Ukosefu wa Maji Wasababisha Kipindupindu

Kwa ufupi Mlipuko wa kipindupindu Mkoani Songwe, Wilaya ya Songwe ilikuwa ni changamoto kuu mwishoni wa mwaka uliopita hadi mapema mwaka wa 2018. Sababu ya mlipuko huu ilikuwa ukosefu wa maji. Hata hivyo, wanavijiji hawa walihamasishwa jinsi ya kuzingatia kanuni za usafi ili kuepuka na maradhi haya siku za usoni. Waliona kuwa jambo njema. Raymond […]
Na:
Some wells harbour live frogs

Ukosefu wa Vyoo Kulisababisha Kipindupindu

  Kwa ufupi Ukosefu wa vyoo Mkoani Songwe, Wilaya ya Songwe imetajwa kuwa mojawapo ya sababu ambayo ilipelekea kuenea kwa kipindupindu eneo hili, mnamo mwishoni mwa mwaka uliopita hadi mapema mwaka wa 2018. Raymond Mhaluka, wa kituo cha radio cha Bomba FM alizuru eneo hili kutaka kujua jinsi ambavyo, ukosefu wa vyoo, mazingira yaliyosafi na […]
Na:
tana

Gugumaji Lahatarisha Ziwa Tana

Mamlaka la kimazingira linalohusisha musitu na wanyama pori eneo la Amhara wamesema kuwa ikiwa hatua hazitachukuliwa kuthibiti mmea vamizi la gugumaji ndani ya Ziwa Tana, mmea huo huenda ukaenea maeneo mengine nchini, hivyo kusababisha uharibifu.
Na: