Stories / Author

Infonile Editors

Conservancies in Kenya. By Kenya Wildlife Conservancies
Hadithi Zote Uncategorized @sw

Wahifadhi Kenya washindwa kulipa ardhi waliyokodisha kutokana na janga la COVID-19 linalohusishwa na kushuka kwa mapato ya utalii

Na Lenah Bosibori  Janga la korona limeziathiri kwa   kiasi kikubwa  hifadhi za nchini Kenya.  Shughuli za kitalii kwenye mbuga ya wanyama ya Maasai Mara ambayo ni maarufu Duniani zimeshuka sana na kupelekea miradi ya uhifadhi kuwa hatarini kutokana na ukosefu wa fedha. Hadi sasa Kenya imepoteza takriban asilimia themanini ya mapato yake yatokanayo na […]
Na:
Soma zaidi...
Webp.net compress image 3
Hadithi Zote
Uganda

Miongo ya Matumizi Busara Yazalisha Matunda Katika Kinamasi cha Kabale

Makubaliano ya umiliki wa kijamii katika kinamasi cha Mugandu-Buramba kimethibiti Kinamasi hiki kwa miaka 40, huku kikiwasaidia wakulima kupata maishilio   Makala na midia-anuai na Fredrick Mugira Usaidizi wa kifundi na Annika McGinnis na Code for Africa   Maua inachanuka katika kinamasi cha Mugandu-Buramba kusini magharibi mwa Wilaya ya Kabale nchini Uganda, kuna yale ya […]
Na:
Soma zaidi...
Marsh 1
Ardhi Maji
Rwanda

Rwanda: Kufurushwa kwa Wawekezaji Kutoka Kwa Vinamasi Kwafanikiwa, Ila Mengi Bado Yahitajika Kufanywa

Makala haya yameandaliwa kwa hisani ya InfoNile na Code for Africa Na Leonce Muvuni Serikali ya Rwanda inajitahidi kuwaondoa wawekezaji wote pamoja na kuharamisha shughuli zote zilizo kinyume na sheria ndani ya vinamasi, kwa madhumuni ya kurejesha hali yao ya kiekolojia. Shughuli hii ya kufutilia mbali ujenzi wa aina yote kutoka sehemu zilizotengwa za vinamasi, […]
Na:
Soma zaidi...